MWANASIASA GODLUCK OLE MADEYE ATIMKA CHADEMA NA KUHAMIA UDP LEO - KONA YANGU

ELIMU MICHEZO NA BURUDANI

https://msashavideos.blogspot.com/

Post Top Ad

Responsive Ads Here
MWANASIASA GODLUCK OLE MADEYE ATIMKA CHADEMA NA KUHAMIA UDP LEO

MWANASIASA GODLUCK OLE MADEYE ATIMKA CHADEMA NA KUHAMIA UDP LEO

Share This

Kada wa Chadema na mbunge wa zamani wa Arumeru Magharibi, Goodluck Ole Medeye ametangaza leo rasmi kuhamia chama cha UDP.

 Ole Medeye amezungumza hayo mbele ya mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho,Mwananyamala jijini Dar.
Medeye amezungumza kwa kujipambanua kuwa yeye anasimamia haki na demokrasia, na kwamba amekerwa sana na tabia ya vyama vya Upinzani kutomheshimu Naibu Spika,Dkt. Tulia Ackson Mwansasu,pichani kati ni Mwenyekiti wa chama cha UDP,Mh.John Cheyo akishuhudia tukio hilo

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages